Saturday, October 13, 2012

PICHA ZA VURUGU ZA MBAGALA

Hapa baadhi ya waislamu walioamua liwalo naliwe na kuamua kuwatunishia msuli polisi na kusema pigeni mpendavyo hatoki mtu.
Askari wa jeshi la Polisi kikosi cha kutuliza ghasia wakiwadhibiti vijana waliokuwa wakileta vurugu eneo la mbagala kufuatia kijana mmoja anaesemekana anasoma kidato cha kwanza kukojolea mkojo Quraan na kusababisha hasira kwa waisilamu hassa vijana ambao walitapakaa mitaani na kuanza kuleta vuru.
Vijana waliosambaa mitaani na kuamsha vurugu kubwa kwenye eneo hilo la Mbagala Kizuiani.
Waisilamu waliotoka msikitini kwenye swala ya Ijumaa walikumbana na kimbembe cha kamatakamata hatakama hawakuwemo kwenye sakata hilo, alama ni kanzu na sijda


Barabara zilikua zikiharibiwa kwa moto ulikuwa ukiwashwa na waisilamu hao wenye hasira.
Maji ya kuwasha yalikuwepo ingawa hayakuweza kuzuia vurugu hizo.
Askari na watuhumiwa wakivuka pamoja kwenye mtaro wa maji taka.
Watuhumiwa wavurugu hizo wakipandishwa kwenye gari la polisi.
 Baadhi ya vizuizi vilivyowekwa na waislam eneo la Mbagala Kizuiani wakati wa maandamano yaliyofanyika jijini Dar es Salaam leo kupinga kitabu kitakatifu cha Koran kufanyiwa dhihaka na mtoto Emmanuel Josephat ambaye aliitemea mate.
 Polisi wakiwa katika kuhakikisha hali ya usalama inaimarishwa katika eneo la Mbagala leo
 Mmoja wa waandamanaji akiwa amekamatwana askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU)
 Baadhi ya magari yaliyoharibika katika maandamano ya waislam leo
HAMISI SALUM BABA MZAZI WA KIJANA AMBAYE MSAAFU WAKE ULIFANYIWA DHIHAKA NA EMMANUEL JOSEPHAT NA KUZUA MAANDAMANO MAKUBWA YALIYOFANYWA NA WAAISLAMU JIJINI DAR 

VURUGU kubwa zimezuka baada ya mtoto Emanuel Josephat(14)’ kukojolea kitabu cha Quraan cha dini ya kiislam limeingia katika hatua nyingine baada ya waamini wa dini ya kiisilam kukusanyika wakishinikiza kuachiwa kwa mtoto huyo ili wamuue.

Waamini hao wanaokadiriwa kufikia idadi ya 3000 baada ya kutawanywa na Polisi waliingia mitaani na kuchoma kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania(KKKT), Mbagala Zakhem, Kuharibu Kanisa la Anglican,kuvunja vioo katika kanisa la Wasabato, huku kanisa la Tanzania Assembly of God(TAG), Mbagala Kizuiani wakilichoma moto na kuchukua vifaa vya muziki na kuviunguza hadharani.

Vurugu hizo zilizotokea jana jijini Dar es Salaam, majira ya saa 5 asubuhi ambapo waislamu hao walivamia kituo cha polisi Maturubai,Mbagala Kizuiani.

Vurugu hizo ambazo zimesababisha gari za polisi namba T142 AVV,PT 0966 na T 325 BQP,basi la uda na gari la waandishi wa habari kutoka Clouds zikiharibiwa kwa mawe na waandamanaji hao.

Awali waamini hao walikusanyika katika kituo hicho cha polisi wakimtaka mtoto huyo ambaye alikuwa chini ya ulinzi aachiwe na Polisi walipogoma kufanya hivyo ndipo vurugu hizo zilipoanza.

Kikosi cha kutuliza ghasia kilionekana kuzidiwa nguvu na watu hao ambao walikuwa wakiwatawanya kutoka eneo moja wanakimbilia eneo lingine na kuleta madhara mbalimbali ikiwa ni pamoja na kufunga barabara.

Hatahivyo baada ya viongozi wa dini hiyo kufika wakiwa wameambatana na Sheikh wa Wilaya ya Temeke, Sheikh wa Taasisi na Jumuiya za Waislamu kukaa kikao na kamanda wa Polisi Wilaya ya Temeke, David Misime, walifikia muafaka wa kuwaita waislamu hao na kuwatuliza lakini hali iliendelea kuwa si shwari kwani baada ya viongozi hao kuona waandamanaji hao wakikamatwa na kupigwa walikuja juu na kutishia kuondoka.

“Ndio nini sasa sisi tupo hapa kwa kuleta suluhu lakini ili waislamu watulie lakini mnawapiga mbele yetu ndio nini sasa 

Saturday, June 2, 2012

CHARACTERISTICT OF COLONIAL EDUCATION

1 .It was of social segregation
2.It was pyramid type of educaton
3.based on sex segregation
4.It was dominated by different religious
5.It was of classes

PROBLEAM OF LINEAR SETTLEMENT

1.Diseas 
2.shortage of land
3.noise
4.accident may occur when car in passing
5demage  of housing during the expention of road

FACTOR INFRUENCING OF LINEAR SETTLEMENT

1.Availability of road
2Availability of social services
3.trade
4.peace and security
5.preasence of transport and communication

PROBLEM OF NUCLEATED SETLEMENT

1.Deaseas
2.lack of enough social servises
3.over population 
4.Enviromental  problem
5.slowing growth of economic
 

EFFECT OF EST AFRICAN LONG DISTANCE TRADE

1.Rise of towns such as khota and karonga along the sauthen trade roule
2.Number of people decreased in areas ,
3.hunger ,emerged in several weak societies 
4. insercurity emerged in weaker societies 
5.

Friday, June 1, 2012

METHOD USED TO GET SLAVE

1.Kidnaping
2.Raid
3.Selling criminals
4Selling captives of war

EFFECT OF IRON TECHNOLOGY IN AFRICAN SOCIETIES

1. Expansion of agriculture
2.expansion of barder yrade in African societies 
3.development of state organazation
4.population increase due 

Thursday, May 24, 2012

COLONIAL ECONOMY

Def:
 is the economy established by colonialist in the  colonial to suit their  interest as metropolitan one
                   CHARACTERISTICS OF COLONIAL ECONOMY
1 .In courage the production of cash crops rather than food crops
2.land alienation where by African forced to leave  the fertile land for white settlement (settler)
3.Manufacturing sector war few of weak.
4.Monopoly of selling process by capitalist
5.economic depend
                   THE ESTABLISHMENT F COLONIAL ECONOMY
1 Creation
           The colonialist created some new economic sturcture which fomaly were not existing in traditional economy.
              Eg : cash crops production   taxation  forced labour      migrant labour    land alienation

 2.Distriction
           this was distruction of traditiona  sett    sofficient economic done by destraying industries
   1.Force _the colonial state made it llegall to produced certain traditional crafts
                           Eg in zaire traditonal craft lost hand (CHOPPED HAND)    
   2Competion-europe manufacture good were brought in and African yang industires     
3.Presavation
    colonialist preserved several Effect of the pre-colonial Economy
                       1.the basic tools remained the hoe and axe
                       2.the basic unity of production remain the familly
                       3.Pre-capitalist relation of production were pre served
                              COLONIAL AGRICULTURE
INTRO; is the applied of social scince which deals crop and animall keepping.THIS IS CONDUCTED IN THREE WAYS 1}peasant agriculture
                         2}settler agriculture
                         3}plantation
        PEASANT: This the method used to colonialist to  exploit African African were engage  in cash crop production .they are grow crop like cotton /coffee ,cocoa ,tea tobacco, palm oil   
                                CHARACTERISTIC
1.uses small scale
2.instrument wewre simple and crad
3.little capital invested
4.production of cash  crops of expot altention on was  pained in food crop
5.uses of family laboul

THE HEHE RESISTANCE

The hehe was strong empire let by mkwawa (chif) in 1891-1898  the germans accupied usagara uluguru ,mpwapwa and ugogo the which were famous center for hehe trading activities and major source  of income . mkwawa conquired  the land end sent deligates to bagamoyo in orda to avoid  war
                              CHARACTERISTIC OF COLONIAL*BUREAUCRACY
1 .It had a tendence of changin from time to time swit and condition of particullar time
2 .pyramidal in shape and base on race
3 .um equal distrubution of  beureaucracy and social service the area with cash crop production
4 .provide official rural
5 .the operation of colonial bureaucracy were through order nomally came from the top to the bottom
                                   THE RULE OF COLONIAL BUREAUCRACY
1 .It worked to to protect colonial interest in the colony against competition from the capitalist nation
2 .To impose the taxes  in order to obtain  labour and  money to administer  the coloniel
3 .It also used land fir land alienation
4 .Colonial bureaucracy also used bad method
5 .building social and economic infrastructures such as school hospital ,road
                                  ESTABLISHMENT  OF COLONIAL BUREAUCRACY
1 .The colonial executive person
2 .The ideological bodies technical structure those include education ,region,infrastructure,housing